@MariooOfficialMusic

SHUSHA COMMENT YAKO HAPO CHINI NIAMBIE NI SEHEMU GANI UMEIPENDA KWENYE WIMBO HUU (Niko hapa nasoma na Kujibu)

@SadreckAman

Weweeeeeeeeeeeheee!! Harmonize ni mtu na nusu naomba like 10 tu

@CarlitacelestinoLimas

Oya oya oya Oya we konde Boy unajuwa mpaka unakera brow ❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿

@LoveSulle-by2mo

❤ mungu awape nguvu zaidi kuwafikishia ujimbe walio kat tamaa

@gracewanjiku6581

Kama unakubali Harmonize alifunika kwa hii ngoma show love Konde❤️🇰🇪🇰🇪💪💪🎤🎤👊

@AustineMogonchi-ij2cd

The only tanzanian music master....alooo Marioo❤❤❤❤from Kenya

@Dennis_Okelo

Mario na Harmonize are like a pair of Nyash. Non can survive without the other❤❤❤ team Bomboclaaat

@Scabascuba88

🔥🔥🔥asee bonge moja la ngoma marioo ametisha ile mbaya halafu Bomboclack kauwa kabisa

@MishiePlatinum1

Tamu kabisa ❤❤ kutoka nyumbani kwethu Malawi 🇲🇼

@BekaBoss-jl9my

Marioo kaka we nimtuwa maana sana kaka Twende naloo sasa🎉🎉🎉🎉

@Kebaclassic10

Jamani ebu wait wait mulisikiya yale maji   Yaliyo mwagika kwenye vers ya BOMBO CLAAAA AAAAH ❤ kk yangu tujuwane basi mm ni mdogo wako kwa mama wakambo ni RADJABU Bien sol ❤❤❤❤❤❤❤❤❤👍

@jezreel.jezreel.969

Wasafi Wana Kibarua Hapa.. 🎉🎉 @Harmonize Kuja Mombasa Kisauni Upige Moja La Kihuni... Tafadhal..

@Freddymedia-p7d

Nigerians 🇳🇬, tanzanian🇹🇿, Burundians🇧🇮,congolese🇨🇩, Ugandans🇺🇬, Americans🇺🇸, Zambians🇿🇲, south Africans🇿🇦, Zimbabweans🇿🇼, Rwandans🇷🇼, Namibians🇸🇸, Kenyans🇰🇪,my wicked landlord and I approve this song as our unite anthem

@alikibaOfficial

🔥🔥🔥🔥👏🏼

@TizooAbdul

❤❤❤otileee so uongooo Africa wenyewe kwa wenyewe tunapgana Vita family sembuse vioongoziii walafiii wabinafsiii yaaani Kila Aina ubayaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

@mashabikiwaharmonize

Wapi mashabiki wa KONDE GANG damu na wale wanao kubali konde akikutana na MARIOO

@SojaGwantanum

Oyaaa hili ngoma nimenyoosha mikono🙌🏾🙌🏾🙌🏾

@victormalimbo1285

Konde boy kwanini marioo anaimba sana vizuri lakini ukiingiya tuu unanigesha sana lakini Ibrah mbona unakuaka namuregezea mkaba ❤❤❤❤❤@kondeboy  kazi ya mwisho sana

@RichardJacob-s6k

Kutoka halooooow .....❤❤❤.  Bombo craaaaaaaack 🔥🔥🔥💯

@joshualaizer1707

Harmonize oyaaaa msenge anajua adi anakera oyaaaa🙌🙌🙌🙌💥💥💥💥💥💥