Weweeeeeeeeeeeheee!! Harmonize ni mtu na nusu naomba like 10 tu
🔥🔥🔥🔥👏🏼
❤ mungu awape nguvu zaidi kuwafikishia ujimbe walio kat tamaa
Oya oya oya Oya we konde Boy unajuwa mpaka unakera brow ❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿
The only tanzanian music master....alooo Marioo❤❤❤❤from Kenya
Kama unakubali Harmonize alifunika kwa hii ngoma show love Konde❤️🇰🇪🇰🇪💪💪🎤🎤👊
Marioo umetisha kinoma❤❤
Wapi mashabiki wa KONDE GANG damu na wale wanao kubali konde akikutana na MARIOO
Bomboooooo claaaaa ameufanya mwingi sanaa
Tamu kabisa ❤❤ kutoka nyumbani kwethu Malawi 🇲🇼
🎉🎉🎉kali nawakubali from kenya 🇰🇪
Marioooo to the world. Asantee brazaaa kutoka alooo
❤harmonize apewe mauwa yake
Oyaaa hili ngoma nimenyoosha mikono🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Marioo kaka we nimtuwa maana sana kaka Twende naloo sasa🎉🎉🎉🎉
❤ muombe mungu udhima tatizo la mapenzi kanituma mimi ❤❤❤
Goma kali wanao amini harmonize kaua gonga like hapa
Nakubali kenya namba moja hapa🎉
Iko lit ...love you all mario na harmonize ....uzuri hamnanga kiburi ....from kenya
@MariooOfficialMusic