@Ivan17_tz

Una Amini Dereva Atatoboa Hii Challenge?

@LeukajaMavika

Jamani hatimaye challenge imefika iringaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanairinga me nipo apaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@Haji-yr9db

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mmmh ana kizaz cha  interview

@ZeyanaKhamismashaka

Vero achna nae uyoo mbwa kabisaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@PhanMussa

Pamoja kak twaendelea kupata somo kwako

@MaryamRamadan-r3i

Cjajua mana mtarajiwa wangu nae dereva ngoja  nione

@victormbata9340

Woyooooo mwaka huuuuui huuuuπŸŽ‰

@fadhilimholo4722

du mbona vero na fadhili afu iringa nilipoπŸ˜‚

@MrPeterakilimali

Sema utapoteza mashabiki kwa tabia za kuweka mapart part tu

@Naah-o2c

Huyo hawezi toboa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@JetroKabana-v5t

Umesema hamuna part two mbona ume kata

@Enilyangolile

Lusha part 2 tuendelee ma mapenzi wengine πŸ˜‚πŸ˜‚

@UmmyJumaa

Pamoja nakukubali Ivan πŸ˜…

@ArestinaAwardy

Jamni unavo kata Ivo unapunguza utamu aivan

@karimhamdani793

Vero usithubutu km mpnz wko ni dereva

@FaydaSaid

Tunakukubal kaka kwa kaz mzr

@AdnanAli-wv5pc

Tupo pamoja ivan, from Zanzibar β€πŸ˜‚

@YustinaMartin

Yani vi dakika kdg unaeka part two duuh