@thehustlerafrica

Ata mechi ya kwanza yanga angekufa nyingi sana sema wamshukuru Kayoko

@Ntishibimwajanga

Hivi huyo mchambuzi yupo sawa kabisa kichwani huyo anaiongelea yanga ipi hiihii inayo kimbiwa na watu hii au

@hirizonetz9558

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yan mechi moja tu sifa kibao

@shasale19

Huyu jamaa huwa ni mtu wa pumba tu kwan  huwa sijui huwa ni mchambuzi au ni mtu wa vibonzoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@tegemeakyangenyenka6111

Sijaona mchezo wowote leo si kwa simba wala Dodoma

@twahakabajemi9716

Wewe ni mlevi huna  nadhani  leo  umelelewa

@anithawidambe7543

UPO SAHIHI SANA SIMBA NI BORA SANA

@yothamgwanika9530

Oscar ana akili ndogo au ni bendera , undefined..

@billaljuma6297

πŸ˜‚πŸ˜‚mbona wamekachaa

@GeorgeMlyuka-m8m

Unaongelea ushabiki sio mpira

@Malaikabright

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sijawahi cheka kama.leo

@FatumaSeleman-b3k

Nyie mliosema simba sio timu bora leo imemfunga kibonde sifa kibao mmeshindwa kuchambua mpira rudini kijijini

@MahaSaeed-hf3gs

Ilaa oscar umenishinda tabia sanaaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

@malitozzy3538

Sio kwa yanga mjomba au unajifurahisha nn namana Dodoma na yanga wanalingana wakat kwake alipigwa nne

@deustutu1162

Yan huwa unajitambua sana hao wenzako mboga mboga fc

@Hbk206

Atu chezi nasliye

@nancymorenje3880

Wewe hujielewi kabisaaaa

@IddTwaha

Ww acha kuwajaza hao makolo mbn walikimbia sasa

@godsonmakia3064

Huyu mzima kweli??

@fadhilfadman9832

Kweli we umelewa