Hivi huyo mchambuzi yupo sawa kabisa kichwani huyo anaiongelea yanga ipi hiihii inayo kimbiwa na watu hii au
πππ yan mechi moja tu sifa kibao
Huyu jamaa huwa ni mtu wa pumba tu kwan huwa sijui huwa ni mchambuzi au ni mtu wa vibonzoπππ
Sijaona mchezo wowote leo si kwa simba wala Dodoma
Wewe ni mlevi huna nadhani leo umelelewa
UPO SAHIHI SANA SIMBA NI BORA SANA
Oscar ana akili ndogo au ni bendera , undefined..
ππmbona wamekachaa
Unaongelea ushabiki sio mpira
πππππππππππ sijawahi cheka kama.leo
Nyie mliosema simba sio timu bora leo imemfunga kibonde sifa kibao mmeshindwa kuchambua mpira rudini kijijini
Ilaa oscar umenishinda tabia sanaaaaππππππ
Sio kwa yanga mjomba au unajifurahisha nn namana Dodoma na yanga wanalingana wakat kwake alipigwa nne
Yan huwa unajitambua sana hao wenzako mboga mboga fc
Atu chezi nasliye
Wewe hujielewi kabisaaaa
Ww acha kuwajaza hao makolo mbn walikimbia sasa
Huyu mzima kweli??
Kweli we umelewa
@thehustlerafrica